Kama kawaida mtoto wakitaa niliibuka wan dei hivi kwenye masuala ya kijamii na kuchangia damu kwenye benki ya damu salama bana ili kuweza kusaidia binadamu wenzetu.
Kudadadadadaki mtoto wa kitaa nikajikita na kuanza kuchonga mawili matau na wasahauri kisha kuto hiyo damu banaa!
Hapa ndio nilifika na nilikutana na mwana mmoko ambaye ni dansa wa kundi la obadaa la hapa bongo.
No comments:
Post a Comment