b..

B1

Wynem

animation

Thursday, July 31, 2014

'BIOGRAPHY' WASIFU WA ALI KIBA

ALIKIBA

Alikiba Saleh Kiba (born November 26, 1986) is a Tanzanian recording artiste, songwriter, dancer, producer, actor and model. He is one of Africa’s biggest stars and his name is steadily becoming a household name internationally.
So influential is Alikiba that the Tanzania’s president JakayaMrishoKikwetehonored him for his invaluable contribution to Tanzanian Music and Arts and Culture feted him.
In 2011, Alikiba was voted as “the most popular top selling artist in East Africa” – Tanzania, Kenya and Uganda by Synovate research.
His debut album, named after the hit single ‘Cinderella’ became the biggest selling record in East Africa in 2008. He followed it up with his second album “Ali K for Real” which had mega-hits like ‘Nakshi Mrembo’, ‘Nichuum’ and ‘Usiniseme’. The success of the album cemented Alikiba’s name as one of Tanzania’s all-time greats.
In 2010 Alikiba achieved another first, collaborating alongside Billboard’s “Most Influential Global R&B Artist of the past 25 years”, American singer-songwriter and record producer R Kelly for the successful One8 project alongside seven of Africa’s biggest names in music; Fally Ipupa, 2Face, Amani, Movaizhaleine, 4X4, Navio, JK.
When it comes to awards and nominations, Alikiba has them in plenty. He has been nominated for ‘Best International Act’ for Black Entertainment Film, Fashion, Television and Arts Awards, Best East African Artist (African Music Awards), Winner of Best Zouk / Rhumba Song and Best Tanzanian Writer, Best Male Artists and Best Collaborating song with Lady Jaydee (Kili Music Awards).
Alikiba Saleh Kiba was born on November 26, 1986 in Iringa, Tanzania to Tombwe Njere and Saleh Omari. He is the first of four children and is followed by Abdu Saleh Kiba, Zabibu Saleh Kiba and Abubakar Saleh Kiba.
Music has always been Alikiba’s passion since childhood. He was either going to be a soccer player or a musician but the passionfor the latter won.
During his primary school years at Upanga Primary School in Dar es salaam, he would dance and sing for his fellow students in school shows. After high school in 2004, he started pursuing a career as a songwriter and a music artist and wrote his first song, Maria. Later that year, Alikiba started working on his first album. In 2005, he received an offer from a Ugandan soccer team but turned it down to pursue and perfect his music career. As much as he loved soccer and was super talented, he loved music more and in that same year, decided to put more effort in his music.

2007: Cinderella Album
This was the album that introduced Alikiba to the music scene. The album’s top single, Cinderella was an instant hit and made it to number one on all of Tanzania’s music charts and was big enough to cross over to Kenya, Rwanda and Uganda.
He had East Africa’s complete attention when he followed up with even bigger hits led by MacMuga, Nakshi Mrembo and Mali Yangu. Even the Middle East could not get enough of the star. He breaking records and crossing boundaries.
2008: Alikiba 4 Real
A year later in 2008, Alikiba released his second album’s first single, Usiniseme and at this point, he was dominating the charts across East Africa and beyond. The album, Alikiba 4 Real was another piece of work from the star. In the same year, Alikiba was nominated and won the Kilimanjaro Music Awards for Cinderella.
2009: Modeling
While still soaring in his career, Alikiba received another soccer offer to play for the Tanzania soccer team, African Lyon but predictably, turned down the offer and instead decided to venture into modeling, as it didn’t take much of his time from music.
2010: ONE8
He landed the mega One8 deal that saw him work with international star R Kelly and seven other African artists. He was singled out by R Kelly who said he had the most unique beautiful voice that had longevity and gave him the lead for the project’s single, Hands Across the World.
Billboard named ONE8 as “Best Bet of 2011” in its Billboard ‘Best Bet list’, an annual forecast of upcoming artists or groups that are destined for success.
In the same year Alikiba was nominated and won the BEFFTA London Award for the Best International Artists in a category he had been pitted against Nigeria’s 2 Face Idibia, Beyonce and Akon.
He also took home the Sexiest Male Artist award at the same awards.
2011: DUSHELELE
After his experience working with R Kelly and some of Africa’s best stars, he released Dushelele, which he co-produced and co-directed. He again proved he has a midas touch when it comes to music thanks to the success of the album. The song was nominated and won the Kilimanjaro Tanzania Music Awards for Best Zouk song.
He later followed up the success of Dushelele with “Single Boy/Single Girl” featuring another Tanzanian musical genius Lady Jaydee and it went on to completely annihilate the competition and topped the charts through the year.
The collaboration was nominated for the Kora Music Award for Best East African Male Artist and topped it all when he was voted as the most popular top selling artist in East Africa – Tanzania, Kenya and Uganda by Synovate research.
2012: Acting
He spent the year collaborating with different artists and started music production, acting lessons, and writing movie scripts.



Alikiba - Mwana Cover Done CD-1

2013: Release of his new album
Ready to release his third studio album, which he has also co-produced is set to be released in 2014. He is also songwriting for fellow artists and scripting his first movie, which he will also star alongside other well-known actors.
His dance prowess has been compared to R&B artist Usher whom Alikiba cites as a large influence on his music career.

Ali kiba akishow lav na mwana Sule Junior 'MTOTO WA KITAA'

Thursday, July 24, 2014

KUMEKUCHA TAMASHA LA SABA LA ,UZIKI WA KIGOGO 2014, DK NCHIMBI KUBARIKI UFUNGUZI.


Mkurugenzi Mkuu wa Kituo cha Sanaa Chamwino 'CAC', Dr. Kedmon Mapana (katikati) akifafanua jambo kwa wanahabari (hawapo pichani) wakati wa mkutano wa utambulisho wa tamasha la saba la muziki wa cigogo 2014. Kushoto kwake ni Katibu wa CAC, Sospeter Elisha Mapana na wa upande wa kulia ni Nason Mazengo, Kaimu Mkurugenzi.
Baadhi ya wageni mbalimbali wakiwa wamewasili Kijijini hapo Chamwino Ikulu, Dodoma.

Baadhi ya wajumbe wa kamati wa CAC wakifuatilia kwa makini mkutano huo.


XXXXXXXX
Na   Andrew Chale, Dodoma
SHAMRA shamra za tamasha la Muziki wa Cigogo zitatarajia kulipuka hiyo kesho Julai 25, kwenye kijiji cha Chamwino Ikulu, Mkoani hapa kwa kushuhudia vikundi zaidi ya 30, vikiwasha moto wa ngoma na muziki wa kitamaduni  hu ku Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Dk. Rehema Nchimbi  akitarajiwa kulifungua rasmi.
Katika kukuza na kuendeleza sanaa nchini, tamasha hilo ambalo kwa mwaka huu ni la msimu wa  Saba (7) likifahamika kama (Wagogo music festival 2014)  lenye kauli mbiu  ‘Utamaduni na Amani’ linatarajia kulindima kwa siku tatu, Julai 25 hadi 27, Kijijini hapo  Chamwino Ikulu.
Akizungumza na waandishi wa habari  katika mkutano uliofanyika mapema leo kwenye ukumbi wa Maktaba ya Mkoa wa Dodoma, Mkurugenzi mkuu wa tamasha hilo, Dk. Kedmon Mapana,  wa Kituo cha Sanaa Chamwino (Chamwino Arts Center-CAC) alisema jumla ya vikundi  31 vinatarajiwa kushiriki tamasha hilo.
“Tamasha la Wagogo mwaka huu ni la saba, ambapo shamrashamra ya tamasha hilo zinatarajia kuanza majira ya saa nane mchana Mkuu wa Mkoa atakapolifungua rasmi huku tukitaraji pia kuwa na wageni wasiopungua 1000” alisema Dr. Kedmon Mapana.
Na kuongeza kuwa, kituo hicho cha CAC  kimekuwa kikiandaa tamasha hilo kila mwaka huku lengo kuu likiwa ni kudumisha mila na tamaduni za Wagogo.
  
Aidha, alisema jumla ya wasanii 750 wanaotoka kwenye vikundi hivyo 31,  wanatarajia watawasha moto wa aina yake kwa kuonyesha sanaa ya muziki wa kabila hilo.
“Miaka ya nyuma tulikuwa na vikundi vya kutoka hapahapa Chamwino na baadae kutoka ndani ya Mkoa wetu pekee, lakini kwa sasa tumeamua kualika na makabila jirani.. wapo wanaotoka Dar es Salaam, Pwani, Singida na Visiwani Zanzibar hivyo wote kwa pamoja tutadumisha utamaduni wetu” alisema Dr. Kedmon Mapana.
Dk. Mapana  pia alipongeza wafadhili wakuu wanalioliunga mkono tamasha hilo wakiwemo, Chamwino Connect  na Schweizerische Eidgenossenschaft (German).
Tamasha hilo pia uhudhuliwa na wageni mbalimbali kutoka mataifa ya nje, ikiwemo nchi za Ulaya, America, Asia na bara la Afrika, ambapo pia kunakuwa na warsha na makongamano katika vijiji vya Chamwino.
Aidha, alivitaja vikundi vitakavyoshiriki tamasha hilo ni pamoja na kutoka Dodoma kuwa ni New Pendo, Yelusalem, Inueni mioyo, Yeriko, Nyota njema, Ushirikiano, Nyerere na Ebenezer.
Vikundi  vilivyo vijiji vya Wilaya ya Chamwino ni  Upendo (Kijiji cha Dabalo),  Imani, Sinai  (Kijiji cha Membe).  Mchungaji mwema, (Kijiji cha Nzali), Juhudi, Muhubiri (Kijiji cha Kawawa), Nyota njema, Safina, Ndagwa (Kijiji cha Msanga).
Msifuni (Kijiji cha Mlimwa), Nyota, Ufunuo (Kijiji cha Majeleko), Simba (Kijiji cha Mbele zungu) na Inueni mioyo (Kijiji cha Mgunga).
Vikundi kutoka Wilaya ya Kongwa imani ( Kijiji cha Mkutani), Faru (Kijiji cha Songambele) na  Safina (Kijiji cha Chigwingili), Pia  kikundi cha Uvuke na Upendo  (kutoka  Manispaa ya  Dodoma mjini).
Vikundi vingine ni Mandoo/Tasuba kutoka Bagamoyo  Mkoa wa Pwani, Nazareti (Dar es s Salaam), Muungano (Manyoni, Singida) na  Zanzibar.

GSK YATANGAZA KUWASILISHA KWA CHANJO YA MALARIA YA RTS


Dk Sophie Biernaux

Na Mwandishi Wetu

GSK leo  Julai 24-2014, imetangaza   imewasilisha maombi ya udhibiti wa chanjo ya malaria RTS,S katika shirika ya  Ulaya ya Madawa Agency (EMA).
Uwasilishaji unafuata Ibara ya 58 ya utaratibu, ambayo inaruhusu EMA kutathmini ubora, usalama na ufanisi wa chanjo au dawa, zinazotengenezwa  viwandani vya nchi za  Umoja wa Ulaya (EU) kwa kutibu magonjwa yanayo tambuliwa na Shirika la Afya Duniani (WHO) kama magonjwa ya athari ya afya ya umma, lakini lengo kwa ajili tu ya matumizi nje  ya EU. Utathmini huu hufanywa na EMA kwa kushirikiana na WHO, na huhitaji madawa na chajo kufikia viwango vinavyokubalika kwa ajili ya matumizi katika nchi za  EU. Uhakiki kwa ajili ya maombi ulipewa na CHMP baada ya mkataba kutoka kwa WHO kuwa RTS, S kukamilisha vigezo kwa tathmini hiyo.
Matumizi ya RTS,S yamelengwa dhidi ya vimelea vya malaria vya Plasmodium falciparum, ambao vimenea zaidi katika bara la kusini mwa sahara Afrika. Makadirio yananoneyesha karibu asilimia 90 ya vifo kutokana na malaria hutokea katika bara la kusini mwa sahara Afrika , na asilimia 77 ya haya ni katika watoto chini ya miaka 5.
Uwasilishaji wa EMA ni hatua ya kwanza katika mchakato wa udhibiti kwa kufanya chanjo ya  RTS,S inapatikana kama mojawapo ya suluhisho za kuzuia malaria. Matumizi ya chanjo pamoja na suluhisho nyingine kama vile vyandarua na madawa ya kupambana na malaria huonyesha ukuaji wa mbinu za kudhibiti malaria. Hadi sasa hakuna chanjo yeyote ambayo imepata leseni ya matumizi kwa kuzuia malaria.

Kama maono mazuri yatatoka kwa Ema, WHO imesema itapendekeza sera kabla ya mwisho wa  mwaka 2015. Mapendekezo ya sera ni mchakato rasmi ya WHO yalioyoundwa kusaidia katika maendeleo ya ratiba ya chanjo ya magonjwa yanayoathari  afya ya umma, kama vile malaria. 
Maoni chanya kutoka EMA pia yatakuwa msingi ramsi ya idhini ya maombi ya masoko kwa mamlaka ya udhibiti ya Taifa (NRAs)  katika nchi za kusini mwa bara la afrika. Utathmini kutoka Shirika la madawa Ulaya unahitajika na mamlaka za udhibiti ya nchi mbalimbali za Afrka kabla ya usajili wa dawa za zinazotengenezwa Ulaya. Kama maamuzi  haya ha uthibity yatakuwa chanya, itasaidia kupata njia ya kuwezesha utekelezaji kwa kiasi kikubwa Maoni chanya , maamuzi haya ya udhibiti ingesaidia kusafisha njia kuelekea utekelezaji wa chanjo kupitia programu za taifa za chanjo Afrika.

Dk Sophie Biernaux, Mkuu wa Malaria Vaccine Franchise, GSK alisema: "Huu ni wakati muhimu katika safari GSK ya miaka 30 kuendeleza RTS, S na inatuleta hatua moja mbele kwa upatikanaji wa chanjo ya kwanza ya malaria duniani na itasiaidia kulinda watoto wa Afrika kutokupata malaria. "
Takwimu kutoka awamu ya III ya majaribio ya chanjo uliofanyika  katika vituo 13 vya utafiti ziliomo katika nchi nane za Afrika (Burkina Faso, Gabon, Ghana, Kenya, Malawi, Msumbiji, Nigeria, na Tanzania) ikiwa ni pamoja na zaidi ya 16,000 watoto wachanga na watoto wadogo waliounganishwa kuunga mkono  jalada

'OFFICIAL VIDEO' STEREO FT BEN POL - USIONE HATARI

Sunday, July 20, 2014

'TANZIA' UPUMZIKE KWA AMANI BABA YETU KIPENZI, MZEE ALLY MABULA

Inna Lillahi Wa Inna Ilaihi Raajiuun. 
…..Mungu akuweke mahala pema baba yetu kipenzi Mzee Ally Mohamed Mabula, ulikuwa mshauri wetu kama wanao na hata kwa mdogo wako Sheikh Suleiman Lyeme.
.....Kiukweli umetuachia pengo kubwa ambalo halitazibika. TUTAKUKUMBUKA DAIMA
   - Salum Suleiman Lyeme

Friday, July 4, 2014

ARUSHA KIMENUKA, BOMU LALIPUKA KARIBU NA SOKO LA KILOMBERO, LARERUHI KADHAA

PhotoPhotoPhotoPhoto
Kwa habari tulizozipata leo ni kwamba majira ya saa kumi jioni kumetokea mlipuko wa mabomu katika mitaa ya Ngarenaro nyuma ya soko la Kilombero.
 Chanzo cha mlipuko huo hakijajulikana hadi hivi sasa.
Bomu hilo limesababisha uharibifu mkubwa katika eneo hilo huku majeruhi hadi hivi sasa wako katika hospitali ya Mount Meru.