b..

B1

Wynem

animation

Sunday, June 30, 2013

ILIVYOKUWA KWENYE SHOO YA FID Q (POETRY ADDICTION), JANA PALE TRINITY

_MG_7742_MG_7637
Baadfhi ya mashabiki wakifuatilia na kushangilia shoo.
_MG_7790_MG_7773
Fid Q akichana LIVE
_MG_7566
Mad Ice
_MG_7719
Damian
IMG_7514
One The Incredible …
_MG_7600
Chidi Beenz
_MG_7658
Rapper WAKAZI on stage …
IMG_7529_MG_7584_MG_7739_MG_7725
Picha zote Kwa hisanio ya Mx Carter. 

Monday, June 24, 2013

MME WA JOYCE KIRIA NA VIJANA WENGINE WACHADEMA WAKIWA NA PINGU, KESI YA UGAIDI IGUNGA

 
Bw.Henry Kilewo akiwa na watuhumiwa wenzake wa mashtaka ya Ugaidi yanayowakabili wakati walipofikishwa Mahakama ya Hakimu mkazi mkoani Tabora kwa mara ya kwanza  
Wanachama wengine wa Chadema ambao wanahusishwa katika mashataka hayo ya Kigaidi ambapo imedaiwa kuwa watuhumiwa walifanya makosa hayo ya Ugaidi na kumjeruhi Bw.Mussa Tesha ambaye ni mwanachama wa CCM wakati wa kampeni za uchaguzi wa Ubunge wa jimbo la Igunga mnamo tarehe 9/9/2011 katika msitu wa Hanihani huko wilayani Igunga.
  
Kamanda Henry Kileo akiwa ndani ya gari pamoja na wtuhumiwa wenzake wanne wakisubiri kupelekwa Gereza la Mahabusu hadi watakapoletwa tena Mahakamani hapo mnamo tarehe 8/7/2013.

KITU CHA YAHAYA KUTOKA KWA LADY JAY DEE

Tuesday, June 18, 2013

SIKILIZA NGOMA MPYA KUTOKA KWA MWANA DADA PCULTUER FT JCB - LIFE CAN BE


KONYAGI YAWAPIGA MSASA WABUNGE KUHUSU BIASHARA VIROBA

http://3.bp.blogspot.com/-JsX9FIymEWA/Ub8g4rjRlxI/AAAAAAAAguk/FOytqXnZ0bA/s1600/02.JPG
Mkurugenzi Mtendaji wa Kiwanda cha Konyagi cha Tanzania Distilleries Limited (TDL), David Mgwassa, akionesha kinywaji cha Afrika Kusini kilichofungwa kwenye viroba kama ambavyo Konyagi inafanya hapa nchini.Vinywaji kama hivyo vipo karibu nchi nyingi Ulimwenguni.http://3.bp.blogspot.com/-SShYDcnNV_c/Ub8g4FqVxSI/AAAAAAAAgug/WbRvTPpfUto/s1600/03.JPG
Meneja wa Masoko wa Konyagi, Joseph Chibehe akielezea jinsi vinywaji vyao vinavyochangia mapato ta serikali
http://3.bp.blogspot.com/--Pz1e6_W1sA/Ub8g86LK61I/AAAAAAAAgu8/WmBdUwMAmyc/s1600/DSC_4212.JPG
Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Kilimo,Maji na Mifugo, Said Nkumba akichangia mada hiyo kwa kuviasa baadhi ya vyombo vya habari kuacha kuandika habari za kudidimiza viwanda vya haba nchini. Kulia ni Idd Azzan Mbunge wa Kinondoni na Dunstan Kitandula ambaye ni Makamu Mwenyekiti was  Kamati ya Bunge ya Uchumi, Viwanda na Biashara.
http://3.bp.blogspot.com/-iw4ZYOX7eQ4/Ub8hBjiQZqI/AAAAAAAAgvY/_PFssxrK1-o/s1600/DSC_4425.JPG
Naibu Waziri wa Habari, Vijana Utamaduni na Michezo, Amos Makala, akichangia mada katika semina hiyo. Kushoto ni Naibu Waziri wa TAMISEMI, Kassim Majaliwa na Said Nkumba.http://3.bp.blogspot.com/-vJhu3v1-gRc/Ub8hEae9ZKI/AAAAAAAAgvw/I6iiPQ5FlTM/s1600/DSC_4560.JPG
Meneja Masoko wa Konyagi, Joseph Chibehe (kushoto) akimkabidhi W. Zuberi  msaada wa vyerehani, ambavyo alivipokea kwa niaba ya BNaibu Spika wa Bunge, Job Ndugai

Sunday, June 16, 2013

KAMPUNI YA STEPS YANOGESHA TUZO ZA BONGO MOVIE

http://2.bp.blogspot.com/-wv4BYIJbJzQ/Ub1svaHRhPI/AAAAAAAALkg/KsIne-84dq4/s1600/IMG_4760.JPG 
Baazi ya wasanii wakiwa katika picha ya pamoja baada ya kukabiziwa tuzo zao za kwanza kwa mwaka 2012 zilizozaminiwa na kampuni ya steps
http://1.bp.blogspot.com/-kj_XBKu3nR4/Ub1qyDl1unI/AAAAAAAALjs/iOU5l3WJbPQ/s1600/IMG_4710.JPG 
Mkurugenzi wa Kampuni ya Steps, Diresh Solanki akimpa tuzo msanii bora wa kiume katika tasnia ya filamu nchini Jacob Stevin JB wakati wa utoaji wa tuzo hizo zilizofanyika usiku wa kuamkia leo na kuhudguliwa na wasanii wengi nchini hii ni kwa mara ya kwanza steps inaandaa tuzo hizi zitakazokuwa zikitolewa kila mwaka.http://3.bp.blogspot.com/-OcOdfPOnatc/Ub1okuxGnnI/AAAAAAAALig/zupLkWuNbow/s1600/IMG_4576.JPG 
Msanii Stiv Nyerere akipokea Tuzo
http://2.bp.blogspot.com/-DQqcAMtBGv4/Ub1oZlt0mcI/AAAAAAAALiY/JegofLbRb5E/s1600/IMG_4559.JPG
Mzee Majuto akipokea Tuzo ya msanii bora wa uchekeshajihttp://2.bp.blogspot.com/-0qMXxOqThTI/Ub1qrVjfYwI/AAAAAAAALjk/92himXprbJ4/s1600/IMG_4685.JPG
MPIGA PICHA mOHAMED aralakia  ZA KAVA MBALIMBALI ZA KAMPUNI YA STEPS AKIPOKEA TUZO
Picha Zote na www.burudan.blogspot.com

ILIVYOKUWA BAADA YA MLIPUKO WA BOUMU

????????????????????????????????????????????

PIGO LINGINE KWENYE MUZIKI WA BONGO, R.I.P LANGA

 
Msanii wa muziki wa kizazi Langa Kileo amefariki dunia  leo jioni pale hospitali ya Muhimbili  alipokuwa anapata matibabu ya ugonjwa Malaria uliokuwa ukimsumbua.
Langa  ni msanii aliyetokea kwenye mashindano ya vipaji yaliyojulikana kama Coca Cola Pop Star, ambapo waliibuka washindi watatu akiwamo Langa, Shaa na Witness kwa pamoja waliunda kundi la WAKILISHA.
Katika kundi hilo, Langa na wenzake walifanikiwa kutoa nyimbo kadhaa ambazo zilitamba sana kwenye vituo vya Radio na Television.

Tuesday, June 11, 2013

MABONDIA WA DAR NA MORO KUPAMBANA JUNE 16

http://1.bp.blogspot.com/-tDDjbjkF5XQ/UaOhMmh9ogI/AAAAAAAADDw/h6es6QeF9jc/s1600/patrick+kavako+baunsa.JPG
  Patrick  Kavako 'Baunsa'
http://3.bp.blogspot.com/-QJmfTYhcn1A/UaOhMJay30I/AAAAAAAADDo/1e6IW1v2Hwg/s1600/king+class+mawe.JPG 
Bondia, KING CLASS MAWE

  Na Mwandishi Wetu
Bondia  Patrick Anthony Kavako 'Baunsa' wa Morogoro  ametamba kumsambalatisha Ibrahimu Class 'King Class Mawe' wakati wa mpambano wao wa raundi nane utakaofanyika siku ya jumapili june 16 katika ukumbi wa panandi panandi uliopo Ilala Bungoni Dar es salaam
Akizungumzia mchezo huo Kocha wa Kimataifa ambaye ni mratibu  wa mpambano huo Rajabu Mhamila 'Super D' alisema kuwa mpambano huo ni wa kukata na shoka ambao si wa kukosa kwani kila mmoja amejitahalisha kivyake hivyo wasubili tu siku ya mpambano huo
Unajua morogoro na Dar es salaam ni mahasimu katika michezo yote ukiangalia na sasa wamekutanishwa vijana katika masumbwi hivyo kila mmoja anaitaji ushindi ili ajiongezee rekodi yake kwani 'King Class Mawe' ato kubali kupigwa na Kavako ato kubali kabisa kupoteza mpambano wake kiraisi kwani na yeye anaitaji ajulikane katika ulimwengu wa masumbwi na kuiperekea sifa morogoro kama ilivyo kwa mabondia wengine wanao tamba mkoani hapo 
Mpambano huo ulioratibiwa na Kinyogoli Fondition kwa kushlikiana na PST itakuwa chachu kwa vijana kuendelea kuupenda na kuucheza mchezo huo unaopendwa na wengi nchini
mbali ya mpambano uho kutakuwa na mapambano mengine ya kukata na shoka bondia Abuu Mtambwe ataoneshana umwamba na Kassim Gamboo na Bondia mkongwe kabisa Yohana Robart atamenyana na Mussa Sunga

Thursday, June 6, 2013

USIKU WA MALEJENDARI HUOOOOOOOOOOO!

 
Ijumaa na j'mosi hii, malejendari tunakutana tena isumba lounge.. zamani jollies club. Tunapata oldies, old scul, raga, rumba, chacha na nyinginezo kibao. Vile vile tutakuwa na special moment of silence na dakika 30 dedicated to the King of Free Style Cowboy Albert Mangwea; with yours truly DJ JD , DJ Fast Eddy na DJ Young Kelvin. Entry 10k, doors open 9pm. Karibu