b..

B1

Wynem

animation

Monday, June 21, 2010

Kama kawaida mtoto wakitaa niliibuka wan dei hivi kwenye masuala ya kijamii na kuchangia damu kwenye benki ya damu salama bana ili kuweza kusaidia binadamu wenzetu.
Kudadadadadaki mtoto wa kitaa nikajikita na kuanza kuchonga mawili matau na wasahauri kisha kuto hiyo damu banaa!
Hapa ndio nilifika na nilikutana na mwana mmoko ambaye ni dansa wa kundi la obadaa la hapa bongo.

Hapa nilikuwa kwa mama mshauri bana nikipewa maushauri ya kutosha.
hapa nilikuwa kwenye mpango wa kuchukua kichupa cha kujazia damu




Ndio kama hivyo baana mambo yalivyokuwa karibuni na nyie wengine mje kutoa na kchangia hiyo damu bana tuwasaidie wenzetu wakitaa.