b..

B1

Wynem

animation

Thursday, May 27, 2010

RED EYE'S NI NOMAAAAAA!





HAPA NIMEKULA POOZ GOLINI!
HAPA MACHO YALIKUBALI KINOMAA!

Hapa ndio goli letu la PAMBA ZA KIJANJA


Ama kweli ugonjwa ni ugonjwa, hakuna ugonjwa mdog hata siku moja! Hii waniita RED EYES imeni shika kwa muda wa siku tatu tu lakini liuona kama ni wa siku 30 kwa maana maumivu yake sio ya kitoto asikuambioe mtu. Yalianza kama utani nikiwa kazini ikabidi nitoroke niende hsptl kumuona dokta nikapewa dawa na siku iliyofuata nilishindwa kabisa kwenda job kutokana na maumvu makali ikabidi nilale hom lakini kama kawaida mimi mtoto wa kitaa sjiazoea kulala mchana bana ikabidi niende nika kae golini niwadake wateja wawili watatu

Monday, May 24, 2010

hasla video making


watu wakaanza kujiweka mapouder ili kamera imek sens bana

hapa wanamalizia malizia kuifunga ili kazi ianze

hapa herieth akawa anaangalia maendeleo baada ya kisikia wakifurahi baada ya kumaliza matengenezo ya chaja ya kamera na walikua tayari kwa kupigwa picha.



Hapa washkaji wako bize katika kuharakisha mambo yaende sawa
Baada ya kumaliza kushuti clip za watoto camera si ikazingua?! basi harakati za kuirekebisha zikaanza mara moja.







hapa wote wakiwa wanachukuliwa video kwa kila mmoja.

hapa madogo wakiwa tayari kwa kupiwa shoti zao.


Hapa picha zikaanza kupigwa bana

Hapa seting zikaanza bana. hapa yuop king Swalehe, kalage mwenyewe na wana wengine wakifanya seting ili waanze kushuti


baada ya kusubiri sana hatimaye kalage akatokea na shuguli ilianza mara moja bila kuchelewa kwani watoto walikuwa wamechoka ile mbaya!

Saturday, May 22, 2010

baada ya kusubiri sana wtoto wakwashikwa nanjaa bana ikabidi wale kidogo kisha waendelee kusubiri.
baada ya kushiba watoto michezo lazima bana. ..........hapa ni katika kumsubiri tu mchiz kalage



baada ya michezo kibao na kalage kutotokea watoto wakanza kuchoka bana
Uswazi ni uswazi tu!..... ....hapa walikuwa wanawaangalia wtoto wawili waliofika pale na kuanza kushangaa kundi letu huku wakionyesha kushangaa zaidi watoto waliochora nyuso

hapa watoto ndio walikuwa wakifika na kuanza kuwatafuta watoto waliocchora kwani walikuwa wamekaa kwa nyuma!


wakawafikia bana, ikabidi wapige nao picha kiaina

King Swalehe akiwa amepoz na dada herieth

Alianza hivi bana katika kuliangusha.

Hapa mtoto alichoka kabisa kusubiri ikabid aangushe kidogo kuvuta muda huka tukiendelea kumsubiri kalage
Nuhu (kushoto) ambaye ndio projuza wa kazi one rec. akiwa amepoz na mwana mmoja aliyekuja kutupa sapoti katika kukamilisha mambo.

Mwana harakati akiwa na producer mahiri anaechipuykia

Herieth Ndossi akiwa kwenye pozi la huzuni baada ya kumsubiri kalage kwa muda mrefu

Hapa watoto wa ukweli waliokuja kuendeleza harakati wakiwa kwenye pozio la kukaa.

kama kwaida mwaneo wa kitaa nilikuwa pande za mwananyamala pale katika ofisi za mtu mzima John Kalage nikishuhudia video ya mwanaharakati wa kike mwenye michano ya uykweli mwnadada HERIETH NDOSSI a.k.a Black girl fighter pale tulikuwa na wana kibao tu wakifanya mambo kwa kumpa kampani mwanaharakati mwenzetu.

Monday, May 17, 2010

VIDEO MAKING VIDEO YA HUSTLERS YA BLACK GIRL FIGHTER

Kwa mara nyingine tena yule motto wa ukweli kabisa ambaye ni mdogo kiumri na ni wa kike mwenye sauti ya kawaida lakini ni wa michano kwa kwenda mbele anajulikana kwa jina la BLACK GIRL FIGHTER ila jina alilopewa na wazazi nan HERIETH NDOSSI kutoka katika kundi la AFRICA BANG’AZ, yupo katika maandalizi ya video ya wimbio wake mpya unaokwenda kwa jina la HUSTLER au PUT YO GUNS DOWN ambayo audio ifanyika katika studio za kazi one record na video yake inafanywa na mtayarishaji makini bw. John Kalage kutoka kalage’s picture.

Tuesday, May 11, 2010

KITAANI KAMA KAWA!

kitaani bana kuna mambo kibao tu yanaendelea kama kawa zis wik juma pili kama kawa nilikuwa pale club sasnciro kumcheki mwanangu wa kitaa CBH akiendelea kurekodi kipuindi chake cha hot brand (jam setion)
pale nilikutana na wtu kibao tu kautoka mitaa topfauti tofauti na pia niliweza kuonchonga nao mawili matatu nikiwa kama kaka mkubwa wao kutoka mtaani (mtoto wa kitaa)
Nilipata maoni kibao tu kutoka kwa wenzangu wa kityaa kuhusu burudani naniliwa ahidi kuya fanyia klazi mawazo yao.

Tuesday, May 4, 2010

Baada ya kupote kwa muda mrefu bila kuonakana kwenye luninga kama ilivyo kawaida yake mtangazaji Charles Benedicto Halawa sasa anatarajia kuja na bonge la kipindi luningani tena kwa mara nyingine. Huyu sio mwingine bali ni yule aliyekuwa akitangaza kipindi cha hot brand kilichokuwa kikirushwa katika kituop cha televisheni ya C2C, m2 mzima Charles Benedicto Halawa a.k.a CBH sasa anaandaa kipindi kama hicho ambacho kitwaitwa hivyohivyo(hot brand) ikiwa ni jam setion ambacho kinaandaliwa chini ya ERYN ambaye ndio maneger huyku ikiwa ni production kutoka hatman production.
katika maandalizi hayo ya kipindi pia yalijumuisha makundi kibao tu ya kudansi kutoka katika mitaa tofauti na shule tofauti tiofauti.